37 : 13
وَإِذَا ذُكِّرُواْ لَا يَذۡكُرُونَ
Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.
Explanation & meanings · 1
- Na wanapo kabiliwa kwa dalili za uweza wa Mwenyezi Mungu kufufua, hata hawazishughulikii wakanufaika kwa hizo dalili.
وَإِذَا ذُكِّرُواْ لَا يَذۡكُرُونَ
Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.