Skip to content
الصَّافَات /

Aya 117

37 : 117
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 117

وَءَاتَيۡنَٰهُمَا ٱلۡكِتَٰبَ ٱلۡمُسۡتَبِينَ

Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.

Explanation & meanings · 1
  1. Na tukampa Musa na Haruni Kitabu kilicho wazi chenye kubainisha hukumu za Dini, nacho ni Taurati.