Skip to content
يسٓ /

Aya 48

36 : 48
يسٓ Aya 83
Sura · يسٓ
Kiswahili · Barawani
36 : 48

وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا ٱلۡوَعۡدُ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ

Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa nyinyi ni wakweli?

Explanation & meanings · 1
  1. Na huwaambia Waumini kwa kuwafanyia kejeli: Lini yatatokea hayo mlio tuahidi, kama nyinyi mnasema kweli katika mnayo ahidi?