Skip to content
يسٓ /

Aya 32

36 : 32
يسٓ Aya 83
Sura · يسٓ
Kiswahili · Barawani
36 : 32

وَإِن كُلّٞ لَّمَّا جَمِيعٞ لَّدَيۡنَا مُحۡضَرُونَ

Na hapana mmoja ila wote watakusanywa waletwe mbele yetu.

Explanation & meanings · 1
  1. Hapana katika mataifa yaliyo tangulia na yajayo ila wote watakusanywa mbele yetu, nao wamelazimishwa kuhudhuria mbele yetu.