Skip to content
يسٓ /

Aya 21

36 : 21
يسٓ Aya 83
Sura · يسٓ
Kiswahili · Barawani
36 : 21

ٱتَّبِعُواْ مَن لَّا يَسۡـَٔلُكُمۡ أَجۡرٗا وَهُم مُّهۡتَدُونَ

Wafuateni ambao hawakutakini ujira, hali ya kuwa wenyewe wameongoka.

Explanation & meanings · 1
  1. Wafuateni watu wasio taka kwenu ujira wowote kwa kukunasihini na kukuongozeni, na hali wao wenyewe wameongoka, na nyinyi mtapata manufaa kwa kufuata njia ya kheri na mafanikio!