Skip to content
الأحزَاب /

Aya 3

33 : 3
الأحزَاب Aya 73
Sura · الأحزَاب
Kiswahili · Barawani
33 : 3

وَتَوَكَّلۡ عَلَى ٱللَّهِۚ وَكَفَىٰ بِٱللَّهِ وَكِيلٗا

Na mtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni wa kutegemewa.

Explanation & meanings · 1
  1. Na wewe mwachilie mambo yako yote Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anatosha kabisa kuwa ni mtegemewa wa kila jambo.