Skip to content
السَّجدة /

Aya 28

32 : 28
السَّجدة Aya 30
Sura · السَّجدة
Kiswahili · Barawani
32 : 28

وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا ٱلۡفَتۡحُ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ

Wanasema: Ushindi huu ni lini, kama mnasema kweli?

Explanation & meanings · 1
  1. Na washirikina wanakwambia wewe na Waumini: Wakati gani Mwenyezi Mungu atakufungulieni mpate ushindi? Twambieni wakati wake ikiwa nyinyi ni wasema kweli.