Skip to content
لُقمَان /

Aya 4

31 : 4
لُقمَان Aya 34
Sura · لُقمَان
Kiswahili · Barawani
31 : 4

ٱلَّذِينَ يُقِيمُونَ ٱلصَّلَوٰةَ وَيُؤۡتُونَ ٱلزَّكَوٰةَ وَهُم بِٱلۡأٓخِرَةِ هُمۡ يُوقِنُونَ

Wanao shika Swala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na Akhera.

Explanation & meanings · 1
  1. Hao ndio wanao timiza Swala kwa njia ya ukamilifu kabisa, na wanawapa Zaka wanao istahiki; na wao wanayaamini maisha ya Akhera kwa imani yenye nguvu kabisa.