Skip to content
آل عِمران /

Aya 82

3 : 82
آل عِمران Aya 200
Sura · آل عِمران
Kiswahili · Barawani
3 : 82

فَمَن تَوَلَّىٰ بَعۡدَ ذَٰلِكَ فَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡفَٰسِقُونَ

Watakao geuka baada ya haya basi hao ndio wapotovu.

Explanation & meanings · 1
  1. Anaye kataa kumuamini Nabii huyu baada ya ahadi hii madhubuti ni mpotovu aliye toka kwenye sharia ya Mwenyezi Mungu, ni kafiri mwenye kuwakataa Manabii wote wa mwanzo mpaka wa mwisho.