Skip to content
آل عِمران /

Aya 58

3 : 58
آل عِمران Aya 200
Sura · آل عِمران
Kiswahili · Barawani
3 : 58

ذَٰلِكَ نَتۡلُوهُ عَلَيۡكَ مِنَ ٱلۡأٓيَٰتِ وَٱلذِّكۡرِ ٱلۡحَكِيمِ

Haya tunayo kusomea ni katika Aya na Ukumbusho wenye hikima.

Explanation & meanings · 1
  1. Hayo tuliyo kusimulia ni miongoni ya hoja zenye kuonyesha ukweli wa ujumbe wako, nayo ni katika Qur'ani Tukufu yenye kukumbusha, na yenye kukusanya ilimu ya manufaa.