Skip to content
الشعراء /

Aya 40

26 : 40
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 40

لَعَلَّنَا نَتَّبِعُ ٱلسَّحَرَةَ إِن كَانُواْ هُمُ ٱلۡغَٰلِبِينَ

Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.

Explanation & meanings · 1
  1. Wakatangaza matarajio yao ya kushinda wachawi, ili wapate kuthibiti katika dini yao, na pia ndio kampeni ya nguvu na juhudi apate kushindwa Musa.