Skip to content
الشعراء /

Aya 37

26 : 37
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 37

يَأۡتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٖ

Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.

Explanation & meanings · 1
  1. Watakuletea wengi, na wote wamebobea kwa uchawi, na wamemshinda Musa kwa ufundi na ustadi. Wamekusudia kwa haya kumpunguzia dukuduku lake Firauni.