Skip to content
الشعراء /

Aya 216

26 : 216
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 216

فَإِنۡ عَصَوۡكَ فَقُلۡ إِنِّي بَرِيٓءٞ مِّمَّا تَعۡمَلُونَ

Na ikiwa watakuasi basi sema: Mimi najitenga mbali na hayo mnayo yatenda.

Explanation & meanings · 1
  1. Pindi wakikuasi na wasikufuate basi jitenge nao, na jitenge na vitendo vyao vya ushirikina na maasi yote.