26 : 204
أَفَبِعَذَابِنَا يَسۡتَعۡجِلُونَ
Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?.
Explanation & meanings · 1
- Anasema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Watu wa Makka wameghurika na kuchelewesha kwangu kuwaadhibu, basi ndio wanaihimiza? Anakusudia Subhanahu Aliye takasika kuzisafihi akili zao kwa sababu ya kuhimiza kwao adhabu juu ya kuwaonya na kuwatisha.