Skip to content
الشعراء /

Aya 201

26 : 201
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 201

لَا يُؤۡمِنُونَ بِهِۦ حَتَّىٰ يَرَوُاْ ٱلۡعَذَابَ ٱلۡأَلِيمَ

Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.

Explanation & meanings · 1
  1. Basi hapana njia ya wao kuacha tabia yao ya ukafiri mpaka wateseke kwa hiyo adhabu kali walio ahidiwa.