Skip to content
الشعراء /

Aya 170

26 : 170
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 170

فَنَجَّيۡنَٰهُ وَأَهۡلَهُۥٓ أَجۡمَعِينَ

Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,.

Explanation & meanings · 1
  1. Mwenyezi Mungu akamuitikia ombi lake, akamwokoa yeye na wale walio fuata wito wake, kwa kuwatoa wote majumbani mwao wakati wa kuteremka adhabu kuwashukia wenye kukanusha.