Skip to content
الفُرقَان /

Aya 52

25 : 52
الفُرقَان Aya 77
Sura · الفُرقَان
Kiswahili · Barawani
25 : 52

فَلَا تُطِعِ ٱلۡكَٰفِرِينَ وَجَٰهِدۡهُم بِهِۦ جِهَادٗا كَبِيرٗا

Basi usiwat'ii makafiri. Na pambana nao kwayo kwa Jihadi kubwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Na endelea na kulingania kwako kwa Haki, na kufikisha Ujumbe wa Mola wako Mlezi. Na wao wakiupinga wito wako, na wakawavamia Waumini basi wapige vita, na kwa hayo pigana Jihadi kubwa.