Skip to content
الفُرقَان /

Aya 46

25 : 46
الفُرقَان Aya 77
Sura · الفُرقَان
Kiswahili · Barawani
25 : 46

ثُمَّ قَبَضۡنَٰهُ إِلَيۡنَا قَبۡضٗا يَسِيرٗا

Kisha tunakivutia kwetu kidogo kidogo.

Explanation & meanings · 1
  1. Na kukiondoa kwetu kivuli ni kwa utaratibu, kwa kipimo. Hakukuwa kwa mara moja. Na katika hayo yapo manufaa kwa watu.