Skip to content
المؤمنُون /

Aya 61

23 : 61
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 61

أُوْلَٰٓئِكَ يُسَٰرِعُونَ فِي ٱلۡخَيۡرَٰتِ وَهُمۡ لَهَا سَٰبِقُونَ

Basi wote hao ndio wanao kimbilia katika mambo ya kheri, na ndio watakao tangulia kuyafikia.

Explanation & meanings · 1
  1. Hao wote hukimbilia na a'mali zao kuendea kupata kheri, na wao ni wenye kuwatangulia wengineo katika kupata huko.