Skip to content
المؤمنُون /

Aya 40

23 : 40
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 40

قَالَ عَمَّا قَلِيلٖ لَّيُصۡبِحُنَّ نَٰدِمِينَ

(Mwenyezi Mungu) akasema: Baada ya muda mchache watakuwa wenye kujuta.

Explanation & meanings · 1
  1. Mwenyezi Mungu akamwambia Huud kuzidi kutilia nguvu ahadi yake: Baada ya muda mchache watakuja juta, kwa waliyo yafanya, itapo wateremkia adhabu.