Skip to content
المؤمنُون /

Aya 31

23 : 31
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 31

ثُمَّ أَنشَأۡنَا مِنۢ بَعۡدِهِمۡ قَرۡنًا ءَاخَرِينَ

Kisha baada yao, tukanzisha kizazi kingine.

Explanation & meanings · 1
  1. Tena baada ya kaumu ya Nuhu tukaumba namna ya watu wengine, na wao ni A'adi.