Skip to content
الحج /

Aya 20

22 : 20
الحج Aya 78
Sura · الحج
Kiswahili · Barawani
22 : 20

يُصۡهَرُ بِهِۦ مَا فِي بُطُونِهِمۡ وَٱلۡجُلُودُ

Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia.

Explanation & meanings · 1
  1. Yatawapenya mpaka kwenye matumbo yao, viliomo ndani viyayuke kama zitavyo yayuka ngozi zao!