Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 58

21 : 58
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 58

فَجَعَلَهُمۡ جُذَٰذًا إِلَّا كَبِيرٗا لَّهُمۡ لَعَلَّهُمۡ إِلَيۡهِ يَرۡجِعُونَ

Basi akayavunja vipande vipande, ila kubwa lao, ili wao walirudie.

Explanation & meanings · 1
  1. Baada ya kwisha ondoka wale watu, Ibrahim aliwaendea masanamu akayavunja vipande vipande, isipokuwa sanamu kumbwa, hilo aliliacha ili wapate kuliregea waliulize yalio wasibu miungu yao nalo halikujibu kitu, kwa hivyo upotovu wa ibada yao ikabainika.