Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 55

21 : 55
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 55

قَالُوٓاْ أَجِئۡتَنَا بِٱلۡحَقِّ أَمۡ أَنتَ مِنَ ٱللَّٰعِبِينَ

Wakasema: Je! Umetujia kwa maneno ya kweli au wewe ni katika wachezao tu?

Explanation & meanings · 1
  1. Wakasema: Je! Umetujia kwa haya uyasemayo na hakika ya kweli unayo iamini, au kwa maneno haya wewe ni katika wanao fanya pumbao na mchezo tu bila ya kuwa na maana yoyote?