Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 20

21 : 20
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 20

يُسَبِّحُونَ ٱلَّيۡلَ وَٱلنَّهَارَ لَا يَفۡتُرُونَ

Wanamtakasa usiku na mchana, wala hawanyong'onyei.

Explanation & meanings · 1
  1. Wanamtakasa aliye tukuka shani yake na kila lisio muelekea. Kumtakasa huku hakusiti, bali huo ni mtakaso wa daima, hawana shughuli nyengine ya kuwashughulisha.