Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 111

21 : 111
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 111

وَإِنۡ أَدۡرِي لَعَلَّهُۥ فِتۡنَةٞ لَّكُمۡ وَمَتَٰعٌ إِلَىٰ حِينٖ

Wala sijui pengine huu ni mtihani tu kwenu na starehe mpaka muda kidogo.

Explanation & meanings · 1
  1. Na sijui pengine huko kupewa muhula na kuakhirishiwa adhabu nyinyi ndio Mwenyezi Mungu anakufanyieni mtihani tu, na kukustarehesheni kwa ladha za maisha mpaka alipo kadiria Mwenyezi Mungu kukuhisabieni kwa hikima yake.