Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 106

21 : 106
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 106

إِنَّ فِي هَٰذَا لَبَلَٰغٗا لِّقَوۡمٍ عَٰبِدِينَ

Hakika katika haya yapo mawaidha kwa watu wafanyao ibada.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika katika haya tuliyo yataja, khabari za Manabii pamoja na kaumu zao, na khabari za Pepo na Moto, yanatosha kuwakumbusha na kuwafanya wazingatie watu walio tayari kumuabudu Mwenyezi Mungu pekee na hawasalitiki na mapambo ya dunia.