Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 1

21 : 1
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 1

ٱقۡتَرَبَ لِلنَّاسِ حِسَابُهُمۡ وَهُمۡ فِي غَفۡلَةٖ مُّعۡرِضُونَ

IMEWAKARIBIA watu hisabu yao, nao wamo katika mghafala wanapuuza.

Explanation & meanings · 1
  1. Umewakaribia washirikina wakati wao wa kuhisabiwa Siku ya Kiyama, nao hali wameghafilika na kitisho chake, wanapuuza kuiamini.