Skip to content
البَقَرَة /

Aya 12

2 : 12
البَقَرَة Aya 286
Sura · البَقَرَة
Kiswahili · Barawani
2 : 12

أَلَآ إِنَّهُمۡ هُمُ ٱلۡمُفۡسِدُونَ وَلَٰكِن لَّا يَشۡعُرُونَ

Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui.

Explanation & meanings · 1
  1. Enyi Waumini! Amkeni, mtanabahi, muwatambue kuwa hao ndio mafisadi wa kweli, lakini wenyewe hawautambui ufisadi wao kwa ajili ya ghururi walio nayo, wala hawaitambui adhabu kali watakayo ipata kwa unaafiki wao huu.