Skip to content
الكَهف /

Aya 97

18 : 97
الكَهف Aya 110
Sura · الكَهف
Kiswahili · Barawani
18 : 97

فَمَا ٱسۡطَٰعُوٓاْ أَن يَظۡهَرُوهُ وَمَا ٱسۡتَطَٰعُواْ لَهُۥ نَقۡبٗا

Basi hawakuweza kuukwea, wala hawakuweza kuutoboa.

Explanation & meanings · 1
  1. Basi wale mahasidi hawakuweza kulikwea lile boma, jinsi lilivyo kwenda juu, wala kulitoboa kwa ugumu wake.