Skip to content
النَّحل /

Aya 99

16 : 99
النَّحل Aya 128
Sura · النَّحل
Kiswahili · Barawani
16 : 99

إِنَّهُۥ لَيۡسَ لَهُۥ سُلۡطَٰنٌ عَلَى ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَلَىٰ رَبِّهِمۡ يَتَوَكَّلُونَ

Hakika yeye hana madaraka juu ya walio amini na wakamtegemea Mola wao Mlezi.

Explanation & meanings · 1
  1. Ukifanya haya kwa kumsafia niya Mwenyezi Mungu, basi atakulinda na Shetani, na atakuondolea wasiwasi. Kwani Shetani hana athari kwa walio jaa Imani ya Mwenyezi Mungu, na wakamtaka msaada na kumtegemea Yeye peke yake.