Skip to content
الحِجر /

Aya 90

15 : 90
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 90

كَمَآ أَنزَلۡنَا عَلَى ٱلۡمُقۡتَسِمِينَ

Kama hivyo tuliwateremshia walio gawa,

Explanation & meanings · 1
  1. Haya ni kama maonyo ya walio igawanya Qur'ani wakaifanya ati ni mashairi, na ukohani, na hadithi za kale na mengineyo. Nao wasiiamini juu ya kusimama hoja juu yao.