15 : 76
وَإِنَّهَا لَبِسَبِيلٖ مُّقِيمٍ
Na miji hii ipo kwenye njia inayo pitiwa.
Explanation & meanings · 1
- Na mabaki ya mji huu yapo yamesalia. Nayo yapo njiani katika njia inayo pitiwa na watu. Anaye taka kuwaidhika kwayo anaweza kuwaidhika.