Skip to content
الحِجر /

Aya 63

15 : 63
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 63

قَالُواْ بَلۡ جِئۡنَٰكَ بِمَا كَانُواْ فِيهِ يَمۡتَرُونَ

Wakasema: Bali sisi tumekuletea yale waliyo kuwa wakiyafanyia shaka.

Explanation & meanings · 1
  1. Wakasema: Usituogope, kwani hatukukujia kwa unalo liogopa, bali tumekujia kwa jambo la kukufurahisha, nalo ni kuwateremshia adhabu hawa watu wako walio kukadhibisha na wakawa wanaitilia shaka hiyo adhabu au wanaikanya.