Skip to content
الحِجر /

Aya 48

15 : 48
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 48

لَا يَمَسُّهُمۡ فِيهَا نَصَبٞ وَمَا هُم مِّنۡهَا بِمُخۡرَجِينَ

Humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.

Explanation & meanings · 1
  1. Hawapatwi na machofu huko. Na hiyo ni neema ya daima, wala hawatotoka humo milele.