Skip to content
الحِجر /

Aya 44

15 : 44
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 44

لَهَا سَبۡعَةُ أَبۡوَٰبٖ لِّكُلِّ بَابٖ مِّنۡهُمۡ جُزۡءٞ مَّقۡسُومٌ

Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.

Explanation & meanings · 1
  1. Wala huo Moto mkali hauna mlango mmoja tu, bali una milango saba kwa ajili ya wingi wanao stahiki kuingia humo. Na kila mlango una kundi lake makhsusi. Na kila kundi una cheo chake maalumu cha kulingana na uovu wake.