Skip to content
الحِجر /

Aya 24

15 : 24
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 24

وَلَقَدۡ عَلِمۡنَا ٱلۡمُسۡتَقۡدِمِينَ مِنكُمۡ وَلَقَدۡ عَلِمۡنَا ٱلۡمُسۡتَـٔۡخِرِينَ

Na tunawajua walio tangulia katika nyinyi, na tunawajua waliotaakhari.

Explanation & meanings · 1
  1. Na kila mmoja wenu ana muda wake alio pimiwa. Sisi ndio tunao ujua. Tunawajua walio tangulia kwa kufa na kuwa hai, na pia wanao taakhari.