Skip to content
إبراهِيم /

Aya 16

14 : 16
إبراهِيم Aya 52
Sura · إبراهِيم
Kiswahili · Barawani
14 : 16

مِّن وَرَآئِهِۦ جَهَنَّمُ وَيُسۡقَىٰ مِن مَّآءٖ صَدِيدٖ

Ambaye nyuma yake ipo Jahannamu, na atanywishwa maji ya usaha.

Explanation & meanings · 1
  1. Kushindwa kwa hao madhaalimu kunatangulia hapa duniani, na baada yake Akhera ipo adhabu ya Jahannamu. Huko watanyweshwa maji yanayo kirihi kama usaha unao toka kwa watu wa Motoni!