Skip to content
هُود /

Aya 106

11 : 106
هُود Aya 123
Sura · هُود
Kiswahili · Barawani
11 : 106

فَأَمَّا ٱلَّذِينَ شَقُواْ فَفِي ٱلنَّارِ لَهُمۡ فِيهَا زَفِيرٞ وَشَهِيقٌ

Ama wale wa mashakani hao watakuwamo Motoni wakiyayayatika na kukoroma.

Explanation & meanings · 1
  1. Ama wale wenye mashaka mwisho wao ni Motoni. Kuvuta pumzi kwao kutakuwa ni kwa machungu makubwa, na mikoromo na kuyayatika, wanapo vuta pumzi na kutoa.