10 : 63
ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَكَانُواْ يَتَّقُونَ
Hao ni ambao wameamini na wakawa wanamcha Mungu.
Explanation & meanings · 1
- Na hao ndio walio yasadiki yote yaliyo toka kwa Mwenyezi Mungu, na wakaifuata Haki, na wakayaepuka maasi, na wakamkhofu Mwenyezi Mungu katika kila walitendalo.