Skip to content
يُونس /

Aya 63

10 : 63
يُونس Aya 109
Sura · يُونس
Kiswahili · Barawani
10 : 63

ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَكَانُواْ يَتَّقُونَ

Hao ni ambao wameamini na wakawa wanamcha Mungu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na hao ndio walio yasadiki yote yaliyo toka kwa Mwenyezi Mungu, na wakaifuata Haki, na wakayaepuka maasi, na wakamkhofu Mwenyezi Mungu katika kila walitendalo.