Skip to content
يُونس /

Aya 56

10 : 56
يُونس Aya 109
Sura · يُونس
Kiswahili · Barawani
10 : 56

هُوَ يُحۡيِۦ وَيُمِيتُ وَإِلَيۡهِ تُرۡجَعُونَ

Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa

Explanation & meanings · 1
  1. Na Mwenyezi Mungu Subhanahu anavihuisha vitu baada ya kuwa havipo, na anaviondoa baada ya kuwapo. Na kwake Yeye tu ndio marejeo katika Akhera. Na mwenye kuwa hivyo hapana kuu la kumshinda.