Skip to content
يُونس /

Aya 48

10 : 48
يُونس Aya 109
Sura · يُونس
Kiswahili · Barawani
10 : 48

وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا ٱلۡوَعۡدُ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ

. Na wanasema: Lini ahadi hii, ikiwa mnasema kweli?

Explanation & meanings · 1
  1. Na makafiri wanakusudia kuikanusha Siku ya Akhera, basi wanaihimiza kwa kejeli na kusema: Itakuwa lini hiyo adhabu unayo tuahidi, kama wewe, ewe Mtume, na hao walio pamoja nawe, ni wakweli katika hayo mnayo yaamini na mnatuitia sisi tuyakubali?