Skip to content
الأنفَال /

Aya 21

8 : 21
الأنفَال Aya 75
Sura · الأنفَال
Kiswahili · Barawani
8 : 21

وَلَا تَكُونُواْ كَٱلَّذِينَ قَالُواْ سَمِعۡنَا وَهُمۡ لَا يَسۡمَعُونَ

Wala msiwe kama wale wanao sema: Tumesikia, na kumbe hawasikii.

Explanation & meanings · 1
  1. Wala msiwe kama wanaafiki wanao sema: Tumeisikia Haki na tumefahamu. Lakini hawaifuati wala hawaiamini. Basi wamekuwa kama wasio sikia.