Skip to content
الأنفَال /

Aya 18

8 : 18
الأنفَال Aya 75
Sura · الأنفَال
Kiswahili · Barawani
8 : 18

ذَٰلِكُمۡ وَأَنَّ ٱللَّهَ مُوهِنُ كَيۡدِ ٱلۡكَٰفِرِينَ

Ndio hivyo! Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kudhoofisha vitimbi vya makafiri.

Explanation & meanings · 1
  1. Huo ndio ushindi mkubwa, na Mwenyezi Mungu Mtukufu ni Mwenye kudhoofisha kila hila za makafiri.