Skip to content
الإنسَان /

Aya 20

76 : 20
الإنسَان Aya 31
Sura · الإنسَان
Kiswahili · Barawani
76 : 20

وَإِذَا رَأَيۡتَ ثَمَّ رَأَيۡتَ نَعِيمٗا وَمُلۡكٗا كَبِيرًا

Na utakapo yaona, utakuwa umeona neema na ufalme mkubwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Na ukitazama popote katika hiyo Pepo utaona neema kubwa, na ufalme ulio tanda.