Skip to content
القِيَامة /

Aya 40

75 : 40
القِيَامة Aya 40
Sura · القِيَامة
Kiswahili · Barawani
75 : 40

أَلَيۡسَ ذَٰلِكَ بِقَٰدِرٍ عَلَىٰٓ أَن يُحۡـِۧيَ ٱلۡمَوۡتَىٰ

Je! Huyo hakuwa ni Muweza wa kufufua wafu?

Explanation & meanings · 1
  1. Je! Huyo Muumba wa mwanzo aliye fanya yote haya, basi si muweza wa kuwahuisha maiti baada ya kuyakusanya mafupa yao?