Skip to content
الجِن /

Aya 5

72 : 5
الجِن Aya 28
Sura · الجِن
Kiswahili · Barawani
72 : 5

وَأَنَّا ظَنَنَّآ أَن لَّن تَقُولَ ٱلۡإِنسُ وَٱلۡجِنُّ عَلَى ٱللَّهِ كَذِبٗا

Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na hakika sisi tulikuwa tunadhani kuwa haiwi binaadamu au jini kumzulia Mwenyezi Mungu jambo ambalo si laiki naye kusifika nalo.