Skip to content
الأنعَام /

Aya 55

6 : 55
الأنعَام Aya 165
Sura · الأنعَام
Kiswahili · Barawani
6 : 55

وَكَذَٰلِكَ نُفَصِّلُ ٱلۡأٓيَٰتِ وَلِتَسۡتَبِينَ سَبِيلُ ٱلۡمُجۡرِمِينَ

Na ndio hivi tunavyo zieleza Ishara ili ibainike njia ya wakosefu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na kwa mfano wa bayana hiyo iliyo wazi, tunaweka wazi dalili mbali mbali, ipate kudhihiri njia ya Haki wanayo ipitia Waumini, na ibainishe njia ya upotovu wanayo ipitia makafiri.