Skip to content
الأنعَام /

Aya 49

6 : 49
الأنعَام Aya 165
Sura · الأنعَام
Kiswahili · Barawani
6 : 49

وَٱلَّذِينَ كَذَّبُواْ بِـَٔايَٰتِنَا يَمَسُّهُمُ ٱلۡعَذَابُ بِمَا كَانُواْ يَفۡسُقُونَ

Na walio kanusha Ishara zetu itawagusa adhabu kwa walivyo kuwa wakipotoka.

Explanation & meanings · 1
  1. Na wale wanao zikanusha dalili zilio wazi za ukweli wa waliyo kuja nayo Mitume, watapata adhabu kwa kutoka kwao kwenye ut'iifu na Imani.