47 : 8
وَٱلَّذِينَ كَفَرُواْ فَتَعۡسٗا لَّهُمۡ وَأَضَلَّ أَعۡمَٰلَهُمۡ
Na walio kufuru, basi kwao ni maangamizo, na atavipoteza vitendo vyao.
Explanation & meanings · 1
- Na walio kufuru Mwenyezi Mungu atawatia mashakani, na atawapotoa vitendo vyao.